Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mezali 10:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Kumbukumbu la* mwenye haki litabarikiwa,+

      Lakini jina la muovu litaoza.+

  • Waebrania 10:26, 27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Kwa maana kama tunazoea kutenda zambi kimakusudi kisha kupokea ujuzi wenye hauna makosa wa ile kweli,*+ hakuna tena zabihu yoyote yenye inabakia kwa ajili ya zambi,+ 27 lakini kuko tazamio hakika la hukumu lenye linaogopesha na kasirani yenye kuwaka yenye itateketeza wale wenye wanapinga.+

  • Ufunuo 2:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Ule mwenye kuwa na sikio asikie+ mambo yenye roho inaambia makutaniko: Ule mwenye atashinda+ hataumizwa hata kidogo na kifo cha pili.’+

  • Ufunuo 20:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Mwenye furaha na mutakatifu ni kila mutu mwenye kuwa na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka+ juu ya hao, lakini watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, na watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu moja (1 000).+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine