26 Kwa maana kama tunazoea kutenda zambi kimakusudi kisha kupokea ujuzi wenye hauna makosa wa ile kweli,+ hakuna tena zabihu yoyote yenye inabakia kwa ajili ya zambi,+ 27 lakini kuko tazamio hakika la hukumu lenye linaogopesha na kasirani yenye kuwaka yenye itateketeza wale wenye wanapinga.+