Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Basi Mungu akamuambia: “Kwa sababu uliomba jambo hili na haukujiombea maisha ya murefu* ao utajiri ao kifo cha* maadui wako, lakini uliomba uelewaji wa kusikia kesi za hukumu,+ 12 nitafanya mambo yenye uliomba.+ Nitakupatia moyo wenye hekima na uelewaji,+ hivi kwamba kama vile hakujakuwa hata siku moja mutu mwenye kuwa kama wewe, hakutakuwa tena hata siku moja mutu kama wewe.+

  • Mezali 9:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kumuogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+

      Na kumujua Mwenye Kuwa Mutakatifu Zaidi+ ni uelewaji.

  • 2 Timoteo 2:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Endelea kufikiria mambo yenye ninasema; Bwana atakupatia uelewaji* katika mambo yote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine