-
1 Wafalme 3:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Basi Mungu akamuambia: “Kwa sababu uliomba jambo hili na haukujiombea maisha ya murefu* ao utajiri ao kifo cha* maadui wako, lakini uliomba uelewaji wa kusikia kesi za hukumu,+ 12 nitafanya mambo yenye uliomba.+ Nitakupatia moyo wenye hekima na uelewaji,+ hivi kwamba kama vile hakujakuwa hata siku moja mutu mwenye kuwa kama wewe, hakutakuwa tena hata siku moja mutu kama wewe.+
-
-
2 Timoteo 2:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Endelea kufikiria mambo yenye ninasema; Bwana atakupatia uelewaji* katika mambo yote.
-