Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Timoteo 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Timoteo

      • Uwapatie ujumbe wanaume wenye wanastahili (1-7)

      • Kuvumilia mateso kwa ajili ya habari njema (8-13)

      • Tumia sawasawa neno la Mungu (14-19)

      • Kimbia tamaa za ujana (20-22)

      • Namna ya kushugulika na wapinzani (23-26)

2 Timoteo 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:2

2 Timoteo 2:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 3:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2017, uku. 27-31

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2010,

    uku. 29-30

2 Timoteo 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:18
  • +2 Tim. 1:8

2 Timoteo 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anajifunga.”

  • *

    Ao pengine, “kazi za kila siku.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 10-11

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/5/2007, uku. 28

2 Timoteo 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2011, uku. 8

    1/1/2001, uku. 28-29

2 Timoteo 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utambuzi.”

2 Timoteo 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya Daudi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:24
  • +Mdo 2:29-32; Rom. 1:3
  • +Mdo 13:23

2 Timoteo 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:16; Flp 1:7
  • +Kol 4:3, 4

2 Timoteo 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:6; Efe 3:13; Kol 1:24

2 Timoteo 2:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:5, 8

2 Timoteo 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 3:21; 20:4, 6
  • +Mt 10:33; Lu 12:9

2 Timoteo 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ukiwatolea ushahidi kamili.”

  • *

    Ao “linaharibu; linapindua.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2014, uku. 14

2 Timoteo 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 4:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2010, uku. 11-12

    15/11/2003, uku. 9-10

    1/1/2003, uku. 27-28

    1/12/2002, uku. 16

    Shule ya Huduma,

    uku. 153-154

2 Timoteo 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 4:7; 6:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2014, uku. 14

2 Timoteo 2:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2006, uku. 5

    1/1/2003,

    uku. 28-29

2 Timoteo 2:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2006, uku. 5

    1/1/2003,

    uku. 28-29

2 Timoteo 2:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:5
  • +Isa 26:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2014, uku. 8-10, 12-16

2 Timoteo 2:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2014, uku. 15-16

    15/11/2002, uku. 19

    Amuka!,

    22/8/2005, uku. 26-27

2 Timoteo 2:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “chombo.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2014, uku. 15-16

    15/11/2002, uku. 19

    Amuka!,

    22/8/2005, uku. 26-27

2 Timoteo 2:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2014, uku. 16

    15/6/2008, uku. 10-11

2 Timoteo 2:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:3, 4; 4:7; Tit 3:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2014, uku. 14-15

2 Timoteo 2:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye busara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 2:7
  • +Mt 5:39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 26

    1/4/2006, uku. 19

    15/5/2005, uku. 25-30

    1/4/2003, uku. 24

2 Timoteo 2:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “badiliko la mawazo.”

  • *

    Ao “ujuzi sahihi wa kweli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 15:1; Gal 6:1; Tit 3:2; 1 Pe. 3:15
  • +1 Tim. 2:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2006, uku. 19

    1/4/2003, uku. 24

2 Timoteo 2:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 13:27; Mdo 5:3; 1 Tim. 1:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 20

Maandiko ingine

2 Timotheo 2:11 Tim. 1:2
2 Timotheo 2:22 Tim. 3:14
2 Timotheo 2:31 Tim. 1:18
2 Timotheo 2:32 Tim. 1:8
2 Timotheo 2:51 Kor. 9:25
2 Timotheo 2:8Mdo 2:24
2 Timotheo 2:8Mdo 2:29-32; Rom. 1:3
2 Timotheo 2:8Mdo 13:23
2 Timotheo 2:9Mdo 9:16; Flp 1:7
2 Timotheo 2:9Kol 4:3, 4
2 Timotheo 2:102 Kor. 1:6; Efe 3:13; Kol 1:24
2 Timotheo 2:11Rom. 6:5, 8
2 Timotheo 2:12Ufu 3:21; 20:4, 6
2 Timotheo 2:12Mt 10:33; Lu 12:9
2 Timotheo 2:152 Tim. 4:2
2 Timotheo 2:161 Tim. 4:7; 6:20
2 Timotheo 2:171 Tim. 1:20
2 Timotheo 2:181 Kor. 15:12
2 Timotheo 2:19Hes 16:5
2 Timotheo 2:19Isa 26:13
2 Timotheo 2:231 Tim. 1:3, 4; 4:7; Tit 3:9
2 Timotheo 2:241 Tes. 2:7
2 Timotheo 2:24Mt 5:39
2 Timotheo 2:25Mez. 15:1; Gal 6:1; Tit 3:2; 1 Pe. 3:15
2 Timotheo 2:251 Tim. 2:3, 4
2 Timotheo 2:26Yoh 13:27; Mdo 5:3; 1 Tim. 1:20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Timoteo 2:1-26

Ya Pili kwa Timoteo

2 Kwa hiyo, wewe mutoto wangu,+ endelea kujipatia nguvu katika fazili zenye hazistahiliwe zenye kuwa katika Kristo Yesu; 2 na mambo yenye ulisikia kutoka kwangu yenye yalihakikishwa na mashahidi wengi,+ mambo hayo uyapatie wanaume waaminifu, wenye nao watastahili kabisa kufundisha wengine. 3 Kama askari+ mwema wa Kristo Yesu, ukubali kuteseka.+ 4 Hakuna mutu mwenye anatumika akiwa askari mwenye anajiingiza* katika mambo ya biashara* ya maisha, ili akubaliwe na ule mwenye alimuandika kuwa askari. 5 Na hata katika michezo, mutu yeyote mwenye anashindana havalishwe taji isipokuwa ameshindana kulingana na sheria.+ 6 Mulimaji mwenye anafanya kazi kwa bidii anapaswa kuwa wa kwanza kula matunda. 7 Endelea kufikiria mambo yenye ninasema; Bwana atakupatia uelewaji* katika mambo yote.

8 Kumbuka kwamba Yesu Kristo alifufuliwa kutoka kwa wafu+ na alikuwa uzao wa Daudi,*+ kulingana na habari njema yenye ninahubiri,+ 9 yenye kwa ajili yake ninavumilia na kufungwa katika gereza kama mutenda-maovu.+ Lakini, neno la Mungu halifungwe.+ 10 Kwa sababu hiyo ninaendelea kuvumilia mambo yote kwa ajili ya wenye kuchaguliwa,+ ili wao pia wapate wokovu wenye uko kupitia Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. 11 Neno hili ni lenye kutegemeka: Hakika kama tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye;+ 12 kama tunaendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye tukiwa wafalme;+ kama tunamukana, yeye pia atatukana sisi;+ 13 kama hatuko waaminifu, yeye anaendelea kuwa muaminifu, kwa maana hawezi kujikana yeye mwenyewe.

14 Endelea kuwakumbusha mambo haya, ukiwaagiza* mbele ya Mungu, wasipigane juu ya maneno, jambo hilo halina faida hata kidogo kwa sababu linaumiza* wale wenye kusikiliza. 15 Fanya nguvu yako yote ili ujitoe ukiwa mutu mwenye kukubaliwa na Mungu, mufanyakazi mwenye hana jambo lolote la kusikilia haya, ukitumia sawasawa neno la kweli.+ 16 Lakini kataa maneno yenye hayana maana yenye yanachafua mambo matakatifu,+ kwa maana yataongoza kwenye kukosa kumuogopa Mungu zaidi na zaidi, 17 na neno lao litaenea kama kidonda chenye kuoza. Himenayo na Fileto ni kati yao.+ 18 Watu hao wamegeuka kutoka kwenye ile kweli, wakisema kwamba tayari ufufuo umekwisha kufanyika,+ na wanapindua imani ya watu wengine. 19 Hata hivyo, musingi imara wa Mungu unabakia wenye kusimama, na uko na muhuri huu, “Yehova* anajua wenye kuwa wake,”+ na, “Kila mutu mwenye anaitia jina la Yehova*+ akatae ukosefu wa haki.”

20 Basi ndani ya nyumba kubwa muko vyombo, hapana tu vya zahabu na feza, lakini pia vya miti na vya udongo, na vimoja ni kwa ajili ya matumizi yenye kuheshimika lakini vingine ni kwa ajili ya matumizi yenye hayaheshimike. 21 Kwa hiyo, kama mutu yeyote anajiepusha na vyombo hivyo vya mwisho, atakuwa kifaa* kwa ajili ya matumizi yenye kuheshimika, chenye kimetakaswa, chenye faida kwa bwana wake, na kimetayarishwa kwa ajili ya kila kazi ya muzuri. 22 Basi kimbia tamaa za ujana, lakini fuatilia haki, imani, upendo, amani, pamoja na wale wenye wanamuitia Bwana kwa moyo safi.

23 Zaidi ya hayo, kataa mabishano ya kipumbavu na ya kijinga,+ ukijua kwamba yanatokeza mapigano. 24 Kwa maana mutumwa wa Bwana hana lazima ya kupigana, lakini anapaswa kuwa mupole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, mwenye anajizuia wakati wanamukosea,+ 25 akiwafundisha kwa upole wale wenye kupinga.+ Pengine Mungu atawapatia toba* yenye inaongoza kwenye ujuzi wenye hauna makosa* wa ile kweli,+ 26 na wanaweza kurudiwa na fahamu zao na kutoka katika mutego wa Ibilisi, kwa kuwa amewakamata wakiwa wazima ili wafanye mapenzi yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine