-
1 Samweli 16:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Wakati waliingia, Samweli akamuona Eliabu+ na kusema: “Hakika mutiwa-mafuta wa Yehova amesimama hapa mbele yake.” 7 Lakini Yehova akamuambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu wake,+ kwa sababu nimemukataa. Kwa maana Mungu haone kama vile mwanadamu anaona, kwa sababu mwanadamu bure anaona kile chenye kinaonekana kwa macho, lakini Yehova anaona ndani ya moyo.”+
-