-
Zaburi 72:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
72 Ee Mungu, umupatie mufalme hukumu zako,
Na umupatie mwana wa mufalme haki yako.+
-
-
Zaburi 72:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Atawaokoa* katika ukandamizaji na katika jeuri,
Na damu yao itakuwa na samani mbele ya macho yake.
-