Mezali 17:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Afazali kipande chenye kukauka cha mukate mahali kwenye kuko amani*+Kuliko nyumba yenye kujaa karamu* pamoja na ugomvi.+ Mezali 21:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Ni muzuri zaidi kuishi katika jangwaKuliko kuishi na bibi mugomvi* na mwenye kukasirika-kasirika.+ Mezali 25:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Ni muzuri zaidi kuishi kwenye pembe ya sehemu ya juu ya nyumbaKuliko kuishi katika nyumba moja na bibi mugomvi.*+ Mezali 27:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Bibi mugomvi* ni kama sehemu ya juu ya nyumba yenye inavuya bila kuacha katika siku ya mvua.+
17 Afazali kipande chenye kukauka cha mukate mahali kwenye kuko amani*+Kuliko nyumba yenye kujaa karamu* pamoja na ugomvi.+
19 Ni muzuri zaidi kuishi katika jangwaKuliko kuishi na bibi mugomvi* na mwenye kukasirika-kasirika.+
24 Ni muzuri zaidi kuishi kwenye pembe ya sehemu ya juu ya nyumbaKuliko kuishi katika nyumba moja na bibi mugomvi.*+