Mezali 17:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Afazali kipande chenye kukauka cha mukate mahali kwenye kuko amani*+Kuliko nyumba yenye kujaa karamu* pamoja na ugomvi.+ Mezali 21:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Ni muzuri zaidi kuishi kwenye pembe ya sehemu ya juu ya nyumbaKuliko kuishi katika nyumba moja na bibi mugomvi.*+ Mezali 25:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Ni muzuri zaidi kuishi kwenye pembe ya sehemu ya juu ya nyumbaKuliko kuishi katika nyumba moja na bibi mugomvi.*+ Mezali 27:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Bibi mugomvi* ni kama sehemu ya juu ya nyumba yenye inavuya bila kuacha katika siku ya mvua.+
17 Afazali kipande chenye kukauka cha mukate mahali kwenye kuko amani*+Kuliko nyumba yenye kujaa karamu* pamoja na ugomvi.+
9 Ni muzuri zaidi kuishi kwenye pembe ya sehemu ya juu ya nyumbaKuliko kuishi katika nyumba moja na bibi mugomvi.*+
24 Ni muzuri zaidi kuishi kwenye pembe ya sehemu ya juu ya nyumbaKuliko kuishi katika nyumba moja na bibi mugomvi.*+