Mezali 28:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Mwenye furaha ni mutu mwenye kuwa muangalifu sikuzote,*Lakini kila mutu mwenye anafanya moyo wake kuwa mugumu ataanguka katika musiba.+ Mezali 29:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Mutu mwenye anafanya shingo yake ikuwe nguvu* kisha kukaripiwa mara nyingi+Atavunjwa bila kutazamia na hataweza kupona.+
14 Mwenye furaha ni mutu mwenye kuwa muangalifu sikuzote,*Lakini kila mutu mwenye anafanya moyo wake kuwa mugumu ataanguka katika musiba.+
29 Mutu mwenye anafanya shingo yake ikuwe nguvu* kisha kukaripiwa mara nyingi+Atavunjwa bila kutazamia na hataweza kupona.+