31 Ole wao wale wenye wanashuka kuenda Misri ili kutafuta musaada,+
Wenye wanategemea farasi,+
Wenye wanategemea magari ya vita kwa sababu ni mengi sana,
Na farasi wa vita kwa sababu wako na nguvu,
Lakini hawamuangalie Mutakatifu wa Israeli,
Na hawamutafute Yehova.