14 Hata hivyo, wewe endelea kufuata mambo yenye ulijifunza na yenye ulisadikishwa kuamini,+ ukijua ulijifunza mambo hayo kutoka kwa nani, 15 na kwamba tangu utoto wako+ umejua maandishi matakatifu,+ yenye yanaweza kukufanya ukuwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu kupitia imani katika Kristo Yesu.+