Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Timoteo 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Timoteo

      • Nyakati za hatari katika siku za mwisho (1-7)

      • Fuata mufano wa Paulo kwa ukaribu (8-13)

      • “Endelea kufuata mambo yenye ulijifunza” (14-17)

        • Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu (16)

2 Timoteo 3:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 24:3; 1 Tim. 4:1; 2 Pe. 3:3; Yud 17, 18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2014, uku. 30

    1/6/2006, uku. 12

2 Timoteo 3:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2006, uku. 5

    Amuka!,

    8/4/2000, uku. 10

2 Timoteo 3:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    9/2017, uku. 3

    Amuka!,

    10/2012, uku. 28

    10/2007, uku. 9

    8/4/2000, uku. 9

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2011, uku. 7

    15/7/2009, uku. 12-13

    15/9/2006, uku. 5-6

    15/7/2006, uku. 27-28

    1/4/2006, uku. 8

2 Timoteo 3:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2006, uku. 6

    Amuka!,

    8/4/2000, uku. 10

2 Timoteo 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 7:15, 22, 23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2006, uku. 6

2 Timoteo 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ujuzi sahihi wa kweli.”

2 Timoteo 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wazimu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 7:11, 12; 9:11

2 Timoteo 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 4:17; 2 Tim. 1:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 28-29

2 Timoteo 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:50
  • +Mdo 14:1, 5, 6
  • +Mdo 14:19
  • +2 Kor. 1:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 28-29

2 Timoteo 3:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 16:24; Yoh 15:20; Mdo 14:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/8/2007, uku. 14

2 Timoteo 3:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 2:11; 1 Tim. 4:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2017, uku. 10

2 Timoteo 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 1:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 19-20

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2016, uku. 13

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2013, uku. 12

    1/5/2007, uku. 24-26

    1/7/2006, uku. 27-28

    15/11/2000, uku. 17-18

2 Timoteo 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 22:6
  • +Mdo 16:1, 2
  • +Yoh 5:39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 19, 20-22

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 16

    1/5/2007,

    uku. 24-25, 26-27

    1/7/2006, uku. 27-28

    1/4/2006, uku. 9

    15/11/2000, uku. 17-18

    Furaha ya Familia, uku. 53

    “Kila Andiko,” uku. 239

2 Timoteo 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kurekebisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:26; 2 Pe. 1:21
  • +Rom. 15:4
  • +1 Kor. 10:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    5/2016, uku. 28

    Mkaribie Yehova, uku. 182

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2013, uku. 12-16

    1/3/2010, uku. 3-4

    1/8/2009, uku. 13

    1/6/2008, uku. 20

    1/5/2006, uku. 24-25

    1/1/2003, uku. 30

    1/3/2002, uku. 12

    Amuka!,

    3/2010, uku. 28-29

    Siku ya Yehova, uku. 6

    Maisha Yenye

    Kuridhisha (la), uku. 14

    “Kila Andiko,” uku. 7, 9, 238-239

2 Timoteo 3:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2008, uku. 20

    1/5/2006, uku. 24-25

    “Kila Andiko,” uku. 7, 238-239

Maandiko ingine

2 Timotheo 3:1Mt 24:3; 1 Tim. 4:1; 2 Pe. 3:3; Yud 17, 18
2 Timotheo 3:5Mt 7:15, 22, 23
2 Timotheo 3:9Kut 7:11, 12; 9:11
2 Timotheo 3:101 Kor. 4:17; 2 Tim. 1:13
2 Timotheo 3:11Mdo 13:50
2 Timotheo 3:11Mdo 14:1, 5, 6
2 Timotheo 3:11Mdo 14:19
2 Timotheo 3:112 Kor. 1:10
2 Timotheo 3:12Mt 16:24; Yoh 15:20; Mdo 14:22
2 Timotheo 3:132 Tes. 2:11; 1 Tim. 4:1
2 Timotheo 3:142 Tim. 1:13
2 Timotheo 3:15Mez. 22:6
2 Timotheo 3:15Mdo 16:1, 2
2 Timotheo 3:15Yoh 5:39
2 Timotheo 3:16Yoh 14:26; 2 Pe. 1:21
2 Timotheo 3:16Rom. 15:4
2 Timotheo 3:161 Kor. 10:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Timoteo 3:1-17

Ya Pili kwa Timoteo

3 Lakini ujue jambo hili, kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa nyakati za hatari zenye kuwa ngumu kuvumilia. 2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda feza, wenye kujisifu, wenye kujivuna, wenye kumutukana Mungu, wenye hawatii wazazi, wenye hawana shukrani, wenye hawana ushikamanifu, 3 wenye hawana upendo wa asili, wenye hawataki makubaliano yoyote, wachongezi, wenye hawajizuie, wakali, wenye hawapendi wema, 4 wasaliti, wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi, wenye kupenda raha kuliko kumupenda Mungu, 5 wenye kwa inje wanaonekana kuwa na ushikamanifu kwa Mungu lakini wanakana nguvu za ushikamanifu huo;+ na wewe ujiepushe na watu wa namna hiyo. 6 Katikati ya hao kunainuka watu wenye kujiingiza kwa ujanja katika nyumba na kukamata mateka wanamuke wazaifu wenye kulemewa na mizigo ya zambi, wenye kuongozwa na tamaa mbalimbali, 7 wenye kujifunza sikuzote lakini hawawezi hata kidogo kupata ujuzi wenye hauna makosa* wa ile kweli.

8 Basi kwa namna yenye Yane na Yambre walipinga Musa, ni vile hawa pia wanaendelea kupinga kweli. Watu hao wameharibika kabisa katika akili, wakiwa wamekataliwa kuhusiana na imani. 9 Hata hivyo, hawatafanya maendeleo zaidi, kwa maana upumbavu* wao utaonekana na watu wote, kama vile ilikuwa kwa watu hao wawili.+ 10 Lakini wewe umefuata kwa ukaribu fundisho langu, mwendo wangu wa maisha,+ kusudi langu, imani yangu, subira yangu, upendo wangu, uvumilivu wangu, 11 mateso na shida kama zile zenye nilipata katika Antiokia,+ Ikoniamu,+ na Listra.+ Nilivumilia mateso hayo, na Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.+ 12 Kwa kweli, wale wote wenye wanapenda kuishi maisha ya ushikamanifu kwa Mungu katika umoja na Kristo Yesu watateswa pia.+ 13 Lakini watu waovu na wajanja wataendelea kutoka ubaya mupaka ubaya zaidi, wakipotosha watu na kupotoshwa wao wenyewe.+

14 Hata hivyo, wewe endelea kufuata mambo yenye ulijifunza na yenye ulisadikishwa kuamini,+ ukijua ulijifunza mambo hayo kutoka kwa nani, 15 na kwamba tangu utoto wako+ umejua maandishi matakatifu,+ yenye yanaweza kukufanya ukuwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu kupitia imani katika Kristo Yesu.+ 16 Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu+ na liko na faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia, kwa kunyoosha mambo,* kwa kutia nizamu katika haki,+ 17 ili mutu wa Mungu akuwe na uwezo kamili, akiwa na vifaa kamili kwa ajili ya kila kazi njema.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine