-
Hesabu 25:6-8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Lakini wakati huo, mumoja kati ya Waisraeli akamuleta mwanamuke Mumidiani karibu na ndugu zake+ mbele ya macho ya Musa na ya mukusanyiko wote wa Waisraeli, wakati walikuwa wanalia kwenye muingilio wa hema ya mukutano. 7 Wakati Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani aliona jambo hilo, akasimama mara moja kutoka katikati ya mukusanyiko na kukamata mukuki katika mukono wake. 8 Kisha akamufuata mwanaume huyo wa Israeli mupaka katika hema na akawatoboa wote wawili, mwanaume wa Israeli na mwanamuke huyo kupitia viungo vya uzazi vya mwanamuke huyo. Kwa hiyo pigo lenye lilikuja juu ya Waisraeli likasimamishwa.+
-
-
1 Samweli 15:22, 23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume; 23 kwa maana uasi+ ni sawa na zambi ya uaguzi,+ na kuenda mbele kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na ibada ya sanamu.* Kwa sababu umekataa neno la Yehova,+ yeye pia amekukataa usikuwe mufalme.”+
-