Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 5:20-22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Gehazi+ mutumishi wa Elisha mutu wa Mungu wa kweli+ akasema katika moyo wake: ‘Angalia, bwana wangu ameachilia huyu Musiria Naamani+ kwa kukataa kupokea vitu vyenye alileta. Kama vile hakika Yehova anaishi, nitakimbia na kumufuata na nitakamata kitu fulani kutoka kwake.’ 21 Kwa hiyo Gehazi akafuata mbio Naamani. Wakati Naamani alimuona mutu fulani akimufuata akiwa anakimbia, akashuka kutoka kwenye gari lake ili akutane naye na akasema: “Je, mambo yote ni sawa?” 22 Halafu akasema: “Mambo yote ni sawa. Bwana wangu amenituma, akisema, ‘Angalia! Sasa hivi vijana wawili kutoka eneo lenye milima la Efraimu kutoka kwa wana wa manabii wamekuja kwangu. Tafazali, uwapatie talanta moja ya feza na nguo mbili za kubadilisha.’”+

  • Yeremia 17:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kama kwale mwenye anakusanya kile chenye hakutaga

      Ni vile mutu mwenye anapata utajiri kwa udanganyifu.*+

      Huo utamuacha katikati ya maisha,

      Na mwishowe ataonekana kuwa hana akili.”

  • 1 Timoteo 6:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Lakini wale wenye wameazimia kuwa matajiri wanaanguka katika jaribu na mutego+ na tamaa nyingi za upumbavu na zenye kuumiza, zenye zinaingiza watu katika uharibifu na maangamizi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine