Zaburi 141:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kama mwenye haki ananipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mushikamanifu;+Kama ananikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Yenye kichwa changu hakitakataa hata kidogo.+ Sala yangu itaendelea hata wakati wa misiba yao. Mezali 27:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Vidonda vyenye kutokezwa na rafiki ni vya uaminifu,+Lakini busu za adui ni nyingi.*
5 Kama mwenye haki ananipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mushikamanifu;+Kama ananikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Yenye kichwa changu hakitakataa hata kidogo.+ Sala yangu itaendelea hata wakati wa misiba yao.