-
Marko 7:10, 11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Kwa mufano, Musa alisema, ‘Heshimia baba yako na mama yako,’+ na, ‘Kila mutu mwenye anatukana baba yake ao mama yake anapaswa kuuawa.’+ 11 Lakini ninyi munasema, ‘Mutu akimuambia baba yake ao mama yake: “Kitu chochote chenye niko nacho chenye kingekusaidia ni korbani (ni kusema, zawadi yenye imetolewa kwa Mungu),”’
-