-
Kutoka 21:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 “Mutu yeyote mwenye anamulaani baba yake ao mama yake anapaswa kuuawa.+
-
-
Mezali 20:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Kila mutu mwenye analaani baba yake na mama yake,
Taa yake itazimwa wakati giza litaingia.+
-