Zaburi 37:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Umutegemee Yehova na utende mambo mema;+Kaa katika dunia,* na utende kwa uaminifu.+ 1 Watesalonike 5:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Muhakikishe kuwa hakuna mutu mwenye anamulipa mutu yeyote ubaya kwa ubaya,+ lakini sikuzote mufuatie mambo ya muzuri kwa mutu na mwenzake na kwa wengine wote.+
15 Muhakikishe kuwa hakuna mutu mwenye anamulipa mutu yeyote ubaya kwa ubaya,+ lakini sikuzote mufuatie mambo ya muzuri kwa mutu na mwenzake na kwa wengine wote.+