Waroma 12:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Musimulipe mutu yeyote uovu kwa uovu.+ Mufanye mambo ya muzuri mbele ya macho ya* watu wote. Waroma 12:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Wapendwa, musijilipizie kisasi, lakini muachie kasirani kali* nafasi;+ kwa maana imeandikwa: “‘Kisasi ni changu; mimi nitalipa,’ ni vile Yehova* anasema.”+
19 Wapendwa, musijilipizie kisasi, lakini muachie kasirani kali* nafasi;+ kwa maana imeandikwa: “‘Kisasi ni changu; mimi nitalipa,’ ni vile Yehova* anasema.”+