Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 12:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lenye kufichwa, kama ni jambo la muzuri ao la mubaya.+

  • Matendo 17:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Kwa sababu ameweka siku yenye anakusudia kuhukumu+ kwa haki dunia yenye kuikaliwa na watu kupitia mwanaume mwenye ameweka, na ametoa uhakikisho kwa watu wote kwa kuwa amemufufua kutoka kwa wafu.”+

  • Waroma 2:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Lakini kwa sababu ya ugumu wa moyo wako na moyo wako wenye kukataa kutubu, unajiwekea kasirani kali katika siku ya kasirani kali na ya kufunuliwa kwa hukumu ya Mungu yenye haki.+ 6 Na atalipa kila mutu kulingana na matendo yake:+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine