Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 41:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Kwa hiyo fundi anamutia nguvu fundi wa metali;+

      Ule mwenye kulainisha kwa nyundo* ya chuma

      Anamutia nguvu ule mwenye kupiga nyundo* kwenye fuawe,*

      Anasema kuhusu kazi ya kuunganisha vyuma: “Iko muzuri.”

      Kisha inapigiliwa misumari ili isianguke.

  • Isaya 46:6, 7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Kuko wale wenye kutosha zahabu nyingi katika mufuko wao;

      Wanapima feza kwenye mizani.*

      Wanalipa fundi wa metali, na anaitengeneza kuwa mungu.+

      Kisha wanainamisha uso mupaka chini, ndiyo, wanaiabudu.*+

       7 Wanainyangula na kuitia kwenye mabega yao;+

      Wanaibeba na kuitia mahali pake, na inasimama tu pale.

      Haiondoke mahali pake.+

      Wanasema nayo kwa sauti kubwa, lakini haijibu;

      Haiwezi kuokoa mutu yeyote katika taabu.+

  • Yeremia 10:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu ni udanganyifu.*

      Ni muti tu wa pori wenye kukatwa,

      Wenye ulifanyiwa kazi na mikono ya fundi kwa chombo chake.*+

       4 Wanaupamba kwa feza na zahabu+

      Na wanaupigilia misumari kwa nyundo* ili usianguke.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine