-
1 Wafalme 21:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Ahabu akamuambia Eliya: “Kwa hiyo umenipata, Ee adui yangu!”+ Akajibu: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umeazimia* kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ 21 angalia, ninaleta musiba juu yako, na nitafagia kabisa kisha wewe na nitaharibu kutoka kwa Ahabu kila mwanaume,*+ kutia ndani wenye hawana uwezo na wenye kuwa wazaifu katika Israeli.+
-
-
2 Wafalme 10:10, 11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Basi mujue kwamba hakuna neno hata moja la Yehova lenye Yehova amesema juu ya nyumba ya Ahabu lenye litakosa kutimia,*+ na Yehova amefanya mambo yenye alisema kupitia mutumishi wake Eliya.”+ 11 Zaidi ya hayo, Yehu akapiga na kuua wote wenye walibakia wa nyumba ya Ahabu katika Yezreeli, na pia watu wake wote wa maana, marafiki wake, na makuhani wake,+ mupaka hakumuachia mutu yeyote mwenye aliokoka.+
-
-
Yeremia 22:30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Yehova anasema hivi:
-