Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:20, 21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Ahabu akamuambia Eliya: “Kwa hiyo umenipata, Ee adui yangu!”+ Akajibu: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umeazimia* kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ 21 angalia, ninaleta musiba juu yako, na nitafagia kabisa kisha wewe na nitaharibu kutoka kwa Ahabu kila mwanaume,*+ kutia ndani wenye hawana uwezo na wenye kuwa wazaifu katika Israeli.+

  • 2 Wafalme 10:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Basi mujue kwamba hakuna neno hata moja la Yehova lenye Yehova amesema juu ya nyumba ya Ahabu lenye litakosa kutimia,*+ na Yehova amefanya mambo yenye alisema kupitia mutumishi wake Eliya.”+ 11 Zaidi ya hayo, Yehu akapiga na kuua wote wenye walibakia wa nyumba ya Ahabu katika Yezreeli, na pia watu wake wote wa maana, marafiki wake, na makuhani wake,+ mupaka hakumuachia mutu yeyote mwenye aliokoka.+

  • Yeremia 22:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 “‘Kama vile hakika ninaishi,’ ni vile Yehova anasema, ‘hata kama Konia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mufalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri kwenye mukono wangu wa kuume, ningekungoa kutoka pale!

  • Yeremia 22:30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 30 Yehova anasema hivi:

      ‘Muandike mutu huyu kwamba hana mutoto,

      Kama mutu mwenye hatapata mafanikio yoyote wakati wa maisha yake,*

      Kwa maana hakuna mutu yeyote kati ya wazao wake mwenye atafanikiwa

      Kukaa kwenye kiti cha ufalme cha Daudi na kutawala tena katika Yuda.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine