Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Yehu anaua nyumba ya Ahabu (1-17)

        • Yehonadabu anajiunga na Yehu (15-17)

      • Yehu anaua waabudu wa Baali (18-27)

      • Maelezo mafupi juu ya utawala wa Yehu (28-36)

2 Wafalme 10:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “walezi wa Ahabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:29
  • +1 Fal. 21:8

2 Wafalme 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “munyoofu.”

2 Wafalme 10:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 9:24, 27

2 Wafalme 10:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba.”

2 Wafalme 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 21:21

2 Wafalme 10:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ni wenye haki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 9:14, 24

2 Wafalme 10:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “lenye litaanguka chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 15:29; Isa 14:27
  • +1 Fal. 21:19-24; 2 Fal. 9:7, 36

2 Wafalme 10:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:19; 2 Fal. 23:19, 20
  • +1 Fal. 21:21

2 Wafalme 10:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Inawezekana ni nafasi kwenye kondoo walifungwa ili wakatwe manyoya.

2 Wafalme 10:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwanamuke muheshimiwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 8:29; 9:21, 27; 2Nya 22:1

2 Wafalme 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 22:8

2 Wafalme 10:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alimubariki.”

  • *

    Tnn., “munyoofu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 35:6, 19
  • +1Nya 2:55

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2005, uku. 11

    “Kila Andiko,” uku. 74

2 Wafalme 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bidii yangu kwa ajili ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:11; 1 Fal. 19:10

2 Wafalme 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 9:8; 2Nya 22:7
  • +1 Fal. 21:20, 21; 2 Fal. 9:26

2 Wafalme 10:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:32, 33; 18:22

2 Wafalme 10:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 3:13
  • +2 Fal. 10:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2011, uku. 5

2 Wafalme 10:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mutakase.”

2 Wafalme 10:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hekalu la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:30, 32

2 Wafalme 10:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 10:15; Yer 35:6, 19

2 Wafalme 10:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutalipia nafsi yake kwa nafsi yenu.”

2 Wafalme 10:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakimbiaji.”

  • *

    Tnn., “kwenye muji wa,” pengine ni jengo lenye lilikuwa kama ngome.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:26, 27; Kum 13:6-9; Eze 9:5

2 Wafalme 10:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:1
  • +Kum 7:25

2 Wafalme 10:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “W.C; misalani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:30; Kum 7:5
  • +1 Fal. 16:30, 32

2 Wafalme 10:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:28-30; 13:33; Ho 8:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2011, uku. 5

2 Wafalme 10:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 21:21
  • +2 Fal. 13:1, 10; 14:23; 15:8, 12

2 Wafalme 10:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:12; Ho 1:4
  • +1 Fal. 12:28-30; 13:34; 14:16

2 Wafalme 10:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kupunguza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 19:17; 2 Fal. 8:12; 13:22

2 Wafalme 10:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:33; Yosh. 22:9
  • +Kum 3:13-16; 28:63; Yosh. 13:8-12

2 Wafalme 10:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 13:1

2 Wafalme 10:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Siku za.”

Maandiko ingine

2 Fa. 10:11 Fal. 16:29
2 Fa. 10:11 Fal. 21:8
2 Fa. 10:42 Fal. 9:24, 27
2 Fa. 10:71 Fal. 21:21
2 Fa. 10:92 Fal. 9:14, 24
2 Fa. 10:101 Sa. 15:29; Isa 14:27
2 Fa. 10:101 Fal. 21:19-24; 2 Fal. 9:7, 36
2 Fa. 10:111 Fal. 18:19; 2 Fal. 23:19, 20
2 Fa. 10:111 Fal. 21:21
2 Fa. 10:132 Fal. 8:29; 9:21, 27; 2Nya 22:1
2 Fa. 10:142Nya 22:8
2 Fa. 10:15Yer 35:6, 19
2 Fa. 10:151Nya 2:55
2 Fa. 10:16Hes 25:11; 1 Fal. 19:10
2 Fa. 10:172 Fal. 9:8; 2Nya 22:7
2 Fa. 10:171 Fal. 21:20, 21; 2 Fal. 9:26
2 Fa. 10:181 Fal. 16:32, 33; 18:22
2 Fa. 10:192 Fal. 3:13
2 Fa. 10:192 Fal. 10:11
2 Fa. 10:211 Fal. 16:30, 32
2 Fa. 10:232 Fal. 10:15; Yer 35:6, 19
2 Fa. 10:25Kut 32:26, 27; Kum 13:6-9; Eze 9:5
2 Fa. 10:26Law. 26:1
2 Fa. 10:26Kum 7:25
2 Fa. 10:27Law. 26:30; Kum 7:5
2 Fa. 10:271 Fal. 16:30, 32
2 Fa. 10:291 Fal. 12:28-30; 13:33; Ho 8:6
2 Fa. 10:301 Fal. 21:21
2 Fa. 10:302 Fal. 13:1, 10; 14:23; 15:8, 12
2 Fa. 10:31Kum 10:12; Ho 1:4
2 Fa. 10:311 Fal. 12:28-30; 13:34; 14:16
2 Fa. 10:321 Fal. 19:17; 2 Fal. 8:12; 13:22
2 Fa. 10:33Hes 32:33; Yosh. 22:9
2 Fa. 10:33Kum 3:13-16; 28:63; Yosh. 13:8-12
2 Fa. 10:352 Fal. 13:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 10:1-36

Cha Pili cha Wafalme

10 Sasa Ahabu+ alikuwa na wana makumi saba (70) katika Samaria. Basi Yehu akaandika barua na kuzituma Samaria, kwa wakubwa wa Yezreeli, wazee,+ na walezi wa wana wa Ahabu,* akisema: 2 “Sasa wakati barua hii inafika kwenu, wana wa bwana wenu watakuwa pamoja na ninyi, na pia magari ya vita, farasi, muji wenye ngome, na silaha. 3 Muchague mwana muzuri zaidi na mwenye kufaa* kabisa kati ya wana wa bwana wenu na mumuweke kwenye kiti cha ufalme cha baba yake. Kisha mupigane kwa ajili ya nyumba ya bwana wenu.”

4 Lakini wakaogopa sana na wakasema: “Angalia! Kama wafalme wawili hawakuweza kusimama mbele yake,+ sisi tunaweza kusimama namna gani?” 5 Basi mwangalizi wa nyumba ya mufalme,* gavana wa muji, wazee, na wale walezi wa watoto wakatuma ujumbe huu kwa Yehu: “Sisi ni watumishi wako, na tutafanya mambo yote yenye unatuambia. Hatutafanya mutu yeyote kuwa mufalme. Fanya jambo lolote lenye linaonekana kuwa la muzuri mbele ya macho yako.”

6 Kisha akawaandikia barua ya pili, akisema: “Kama muko watu wangu na muko tayari kunitii, mulete vichwa vya wana wa bwana wenu na mukuje kwangu kesho wakati kama huu katika Yezreeli.”

Sasa wana makumi saba (70) wa mufalme walikuwa pamoja na wanaume wa maana wa muji wenye walikuwa wanawalea. 7 Wakati tu barua hiyo ilifika kwao, wakakamata wale wana wa mufalme na kuwachinja, wanaume makumi saba (70),+ na wakatia vichwa vyao ndani ya vitunga na kuvituma kwake kule Yezreeli. 8 Mujumbe akaingia ndani na kumuambia: “Wameleta vichwa vya wana wa mufalme.” Basi akasema: “Muviweke katika marundo mbili kwenye muingilio wa mulango mukubwa wa muji mupaka asubui.” 9 Wakati alitoka asubui, alisimama mbele ya watu wote na kusema: “Ninyi hamuna kosa.* Ndiyo, nilifanya mupango mubaya juu ya bwana wangu, na nikamuua,+ lakini ni nani mwenye alipiga na kuua hawa wote? 10 Basi mujue kwamba hakuna neno hata moja la Yehova lenye Yehova amesema juu ya nyumba ya Ahabu lenye litakosa kutimia,*+ na Yehova amefanya mambo yenye alisema kupitia mutumishi wake Eliya.”+ 11 Zaidi ya hayo, Yehu akapiga na kuua wote wenye walibakia wa nyumba ya Ahabu katika Yezreeli, na pia watu wake wote wa maana, marafiki wake, na makuhani wake,+ mupaka hakumuachia mutu yeyote mwenye aliokoka.+

12 Kisha akasimama na kuenda kuelekea Samaria. Nyumba ya kufungia kondoo* ya wachungaji ilikuwa katika njia. 13 Yehu akakutana pale na ndugu za Mufalme Ahazia+ wa Yuda, na akawaambia, “Ninyi ni nani?” Wakasema: “Sisi ni ndugu za Ahazia, na tunashuka ili kuenda kuuliza kama mambo yote ni sawa kwa wana wa mufalme na wana wa malkia mama ya mufalme.”* 14 Mara moja akasema: “Muwakamate wakiwa wazima!” Basi wakawakamata wakiwa wazima na wakawachinja kwenye tangi la ile nyumba ya kufungia kondoo, wanaume makumi ine na mbili (42). Hakuacha hata mutu mumoja kati yao aokoke.+

15 Wakati alikuwa anaondoka pale, alikutana na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu,+ mwenye alikuwa anakuja kukutana naye. Wakati alimusalimia,* akamuambia: “Je, moyo wako uko kamili* kunielekea, kama vile moyo wangu uko kamili kuelekea moyo wako?”

Yehonadabu akajibu: “Ndiyo.”

“Kama ni vile, nipatie mukono wako.”

Basi akamupatia mukono wake, na Yehu akamukokota na kumupandisha katika gari pamoja naye. 16 Kisha akasema: “Uende pamoja na mimi, na uone kwamba sivumilie ushindani wowote kumuelekea* Yehova.”+ Basi wakamutembeza pamoja naye katika gari lake la vita. 17 Kisha akakuja Samaria, na akapiga na kuua wale wote wenye walibakia wa nyumba ya Ahabu katika Samaria mupaka wakati aliwaharibu,+ kulingana na neno la Yehova lenye alikuwa amemuambia Eliya.+

18 Tena, Yehu akakusanya watu wote pamoja na kuwaambia: “Ahabu aliabudu Baali kidogo tu,+ lakini Yehu atamuabudu sana. 19 Basi muniitie manabii wote wa Baali,+ waabudu wake wote, na makuhani wake wote.+ Musiache hata mutu mumoja akosekane, kwa sababu niko na zabihu kubwa kwa ajili ya Baali. Mutu yeyote mwenye atakosekana hataishi.” Lakini Yehu alikuwa anatenda kwa ujanja ili aharibu waabudu wa Baali.

20 Yehu akaendelea kusema: “Mutangaze* mukusanyiko mukubwa kwa ajili ya Baali.” Basi wakautangaza. 21 Kisha Yehu akatuma ujumbe katika Israeli yote, na waabudu wote wa Baali wakakuja. Hakuna hata mumoja mwenye alibakia mwenye alikosa kuja. Wakaingia katika nyumba ya* Baali,+ na nyumba ya Baali ikajaa kutoka mwisho mumoja mupaka mwisho mwingine. 22 Akamuambia ule mwenye alikuwa anasimamia chumba cha nguo: “Leta nguo kwa ajili ya waabudu wote wa Baali.” Basi akawaletea nguo. 23 Halafu Yehu na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu wakaingia katika nyumba ya Baali. Sasa akaambia waabudu wa Baali: “Mutafute kwa uangalifu na muone ikiwa hakuna muabudu yeyote wa Yehova humu ndani, isipokuwa tu waabudu wa Baali.” 24 Mwishowe wakaingia ndani ili kutoa zabihu na matoleo ya kuteketezwa. Yehu alikuwa ameweka inje wanaume makumi munane (80) kati ya wanaume wake na kusema: “Kama mutu yeyote kati ya wanaume wenye ninaweka katika mikono yenu anaponyoka, mutalipia uzima wake kwa uzima wenu.”*

25 Wakati tu alimaliza kutoa toleo la kuteketezwa, Yehu akaambia walinzi* na makamanda wasaidizi: “Muingie ndani na muwapige na kuwaua! Musiache hata mumoja aponyoke!”+ Basi walinzi na makamanda wasaidizi wakawapiga na kuwaua kwa upanga na kuwatupa inje, na wakaendelea mupaka patakatifu pa ndani pa* nyumba ya Baali. 26 Kisha wakatosha inje nguzo takatifu+ za nyumba ya Baali na wakateketeza kila nguzo kwa moto.+ 27 Wakabomoa nguzo takatifu+ ya Baali, na wakabomoa nyumba ya Baali+ na kuigeuza kuwa vyoo,* kama vile imebakia mupaka leo.

28 Kwa hiyo Yehu akamuharibu Baali kutoka katika Israeli. 29 Hata hivyo, Yehu hakugeuka na kuacha zambi zenye Yeroboamu mwana wa Nebati alifanya Israeli watende kuhusiana na vile vitoto-dume vya ngombe vya zahabu vyenye vilikuwa katika Beteli na katika Dani.+ 30 Basi Yehova akamuambia Yehu: “Kwa sababu umetenda muzuri na umefanya mambo yenye kuwa sawa mbele ya macho yangu kwa kutenda mambo yote yenye yalikuwa katika moyo wangu ya kufanyia nyumba ya Ahabu,+ vizazi ine (4) vya wana wako vitakaa kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.”+ 31 Lakini Yehu hakukuwa muangalifu ili kutembea katika Sheria ya Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wake wote.+ Hakugeuka na kuacha zambi zenye Yeroboamu alifanya Israeli watende.+

32 Katika siku hizo Yehova alianza kukata* Israeli kipande kimoja kisha kingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia katika eneo lote la Israeli,+ 33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, inchi yote ya Gileadi⁠—​ya Wagadi, Warubeni, na Wamanase+⁠—​kutoka Aroeri, yenye kuwa pembeni ya Bonde la Arnoni, mupaka Gileadi na Bashani.+

34 Na mambo mengine ya historia ya Yehu, mambo yote yenye alifanya na nguvu zake zote, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli? 35 Kisha Yehu akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake, na wakamuzika katika Samaria; na Yehoahazi mwana wake+ akakuwa mufalme pa nafasi yake. 36 Urefu wa* utawala wa Yehu juu ya Israeli ulikuwa miaka makumi mbili na munane (28) katika Samaria.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine