Isaya 41:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Usiogope, kwa maana niko pamoja na wewe.+ Usihangaike, kwa maana niko Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, ndiyo, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mukono wangu wa kuume wa haki.’ Isaya 44:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Yehova,Mutengenezaji wako na Mufanyizaji wako,+Mwenye amekusaidia tangu tumbo la uzazi,* anasema hivi: ‘Usiogope, mutumishi wangu Yakobo,+Na wewe, Yeshuruni,*+ mwenye nimechagua. Yeremia 30:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 “Na wewe, mutumishi wangu Yakobo, usiogope,” ni vile Yehova anasema,“Na usiingiwe na woga, Ee Israeli.+ Kwa maana nitakuokoa kutoka mbaliNa uzao wako kutoka katika inchi yao ya utekwa.+ Yakobo atarudia na kuwa na utulivu na bila usumbufu,Bila mutu wa kuwaogopesha.”+
10 Usiogope, kwa maana niko pamoja na wewe.+ Usihangaike, kwa maana niko Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, ndiyo, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mukono wangu wa kuume wa haki.’
2 Yehova,Mutengenezaji wako na Mufanyizaji wako,+Mwenye amekusaidia tangu tumbo la uzazi,* anasema hivi: ‘Usiogope, mutumishi wangu Yakobo,+Na wewe, Yeshuruni,*+ mwenye nimechagua.
10 “Na wewe, mutumishi wangu Yakobo, usiogope,” ni vile Yehova anasema,“Na usiingiwe na woga, Ee Israeli.+ Kwa maana nitakuokoa kutoka mbaliNa uzao wako kutoka katika inchi yao ya utekwa.+ Yakobo atarudia na kuwa na utulivu na bila usumbufu,Bila mutu wa kuwaogopesha.”+