Isaya 41:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 “Wenye uhitaji na maskini wanatafuta maji, lakini hakuna. Ulimi wao umekauka kwa sababu ya kiu.+ Mimi, Yehova, nitawajibu.+ Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.+ Yeremia 31:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Watakuja wakilia.+ Nitawaongoza wakati watakuwa wanaomba waonyeshwe rehema. Nitawaongoza kwenye mito midogo* ya maji,+Kwenye njia tambarare yenye haitafanya wajikwae. Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, na Efraimu ni muzaliwa wangu wa kwanza.”+
17 “Wenye uhitaji na maskini wanatafuta maji, lakini hakuna. Ulimi wao umekauka kwa sababu ya kiu.+ Mimi, Yehova, nitawajibu.+ Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.+
9 Watakuja wakilia.+ Nitawaongoza wakati watakuwa wanaomba waonyeshwe rehema. Nitawaongoza kwenye mito midogo* ya maji,+Kwenye njia tambarare yenye haitafanya wajikwae. Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, na Efraimu ni muzaliwa wangu wa kwanza.”+