Isaya 30:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Wakati watu watakaa katika Sayuni, katika Yerusalemu,+ hautalia tena.+ Hakika atakuonyesha wema wakati utalia kwa sauti kubwa ili kuomba musaada; atakujibu wakati tu atasikia kilio chako.+ Isaya 55:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 55 Mukuje, ninyi wote wenye kiu,+ mukuje kwenye maji!+ Ninyi wenye hamuna feza, mukuje, mununue na mukule! Ndiyo, mukuje, mununue divai na maziwa+ bila feza na bila garama.+
19 Wakati watu watakaa katika Sayuni, katika Yerusalemu,+ hautalia tena.+ Hakika atakuonyesha wema wakati utalia kwa sauti kubwa ili kuomba musaada; atakujibu wakati tu atasikia kilio chako.+
55 Mukuje, ninyi wote wenye kiu,+ mukuje kwenye maji!+ Ninyi wenye hamuna feza, mukuje, mununue na mukule! Ndiyo, mukuje, mununue divai na maziwa+ bila feza na bila garama.+