Isaya 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+ Isaya 51:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Haki yangu inakaribia.+ Wokovu wangu utatoka,+Na mikono yangu itahukumu vikundi vya watu.+ Visiwa vitanitumainia,+Na vitangojea mukono wangu.* Isaya 62:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Angalia! Yehova ametangaza mupaka kwenye miisho ya dunia: “Muambie binti ya Sayuni,‘Angalia! Wokovu wako unakuja.+ Angalia! Zawabu yake iko pamoja naye,Na mushahara wenye analipa uko mbele yake.’”+
2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+
5 Haki yangu inakaribia.+ Wokovu wangu utatoka,+Na mikono yangu itahukumu vikundi vya watu.+ Visiwa vitanitumainia,+Na vitangojea mukono wangu.*
11 Angalia! Yehova ametangaza mupaka kwenye miisho ya dunia: “Muambie binti ya Sayuni,‘Angalia! Wokovu wako unakuja.+ Angalia! Zawabu yake iko pamoja naye,Na mushahara wenye analipa uko mbele yake.’”+