Isaya 11:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Na tawi+ litakomaa kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda. Zekaria 6:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Na umuambie,“‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Huyu ndiye mutu mwenye jina lake Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, na atajenga hekalu la Yehova.+
11 Na tawi+ litakomaa kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.
12 Na umuambie,“‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Huyu ndiye mutu mwenye jina lake Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, na atajenga hekalu la Yehova.+