Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 132:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Yehova amemuapia Daudi;

      Hakika hatakosa kutimiza neno lake:

      “Mumoja wa wazao wako,*

      Nitamutia kwenye kiti chako cha ufalme.+

  • Isaya 53:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  2 Atapanda kama tawi+ mbele yake,* kama muzizi kutoka katika inchi yenye kukauka.

      Hana umbo ya heshima, wala utukufu wowote;+

      Na wakati tunamuona, sura yake haituvute kwake.*

  • Ufunuo 5:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Lakini mumoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Angalia! Simba wa kabila la Yuda,+ muzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili afungue kile kitabu cha kukunjwa na mihuri yake saba (7).”

  • Ufunuo 22:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 “‘Mimi, Yesu, nilimutuma malaika wangu kuwatolea ushahidi juu ya mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye muzizi na uzao wa Daudi+ na nyota ya asubui yenye kungaa.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine