Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 11:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kisha Yehova akaniambia: “Uitupe katika hazina⁠—⁠samani yenye utukufu yenye walinikadiria.”+ Basi nikakamata vile vipande makumi tatu (30) vya feza, na nikaitupa katika hazina kwenye nyumba ya Yehova.+

  • Yohana 18:39, 40
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Zaidi ya hayo, muko na desturi kwamba niwafungulie mutu mumoja siku ya Pasaka.+ Basi, munataka niwafungulie Mufalme wa Wayahudi?” 40 Wakasema tena kwa sauti kubwa: “Hapana mutu huyu, lakini Baraba!” Sasa Baraba alikuwa munyanganyi.+

  • Matendo 3:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemutukuza Mutumishi wake,+ Yesu,+ mwenye ninyi mulimutoa+ na kumukana mbele ya Pilato, hata kama alikuwa ameamua kumufungua. 14 Ndiyo, mulimukana ule mutakatifu na mwenye haki, na mukaomba wawapatie mutu mwenye alikuwa muuaji,+

  • Matendo 4:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Hili ndilo ‘jiwe lenye ninyi wajenzi mulitendea kama vile halina maana lenye limekuwa jiwe kubwa la pembe.’*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine