13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemutukuza Mutumishi wake,+ Yesu,+ mwenye ninyi mulimutoa+ na kumukana mbele ya Pilato, hata kama alikuwa ameamua kumufungua. 14 Ndiyo, mulimukana ule mutakatifu na mwenye haki, na mukaomba wawapatie mutu mwenye alikuwa muuaji,+