Isaya 52:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Angalia! Mutumishi wangu+ atatenda kwa ufahamu. Atainuliwa juu,Atainuliwa na kutukuzwa sana.+ Isaya 53:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kwa sababu ya uchungu wake,* ataona na kutosheka. Kupitia ujuzi wake, mwenye haki, mutumishi wangu,+Atafanya wengi wahesabiwe kuwa wenye haki;+Na atabeba makosa yao.+
11 Kwa sababu ya uchungu wake,* ataona na kutosheka. Kupitia ujuzi wake, mwenye haki, mutumishi wangu,+Atafanya wengi wahesabiwe kuwa wenye haki;+Na atabeba makosa yao.+