Zaburi 42:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Niko na kiu kwa ajili ya Mungu, kwa ajili ya Mungu mwenye kuishi.+ Nikuje wakati gani na kuonekana mbele ya Mungu?+ Zaburi 63:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Niko na kiu* kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika inchi kame na yenye kukauka, kwenye hakuna maji.+ Amosi 8:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 ‘Angalia! Siku zinakuja,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema,‘Wakati nitatuma njaa katika inchi,Hapana njaa ya mukate ao kiu ya maji,Lakini ya kusikia maneno ya Yehova.+ Matayo 5:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 “Wenye furaha ni wale wenye njaa na kiu+ ya haki, kwa sababu watashibishwa.+
2 Niko na kiu kwa ajili ya Mungu, kwa ajili ya Mungu mwenye kuishi.+ Nikuje wakati gani na kuonekana mbele ya Mungu?+
63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Niko na kiu* kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika inchi kame na yenye kukauka, kwenye hakuna maji.+
11 ‘Angalia! Siku zinakuja,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema,‘Wakati nitatuma njaa katika inchi,Hapana njaa ya mukate ao kiu ya maji,Lakini ya kusikia maneno ya Yehova.+