Isaya 55:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 55 Mukuje, ninyi wote wenye kiu,+ mukuje kwenye maji!+ Ninyi wenye hamuna feza, mukuje, mununue na mukule! Ndiyo, mukuje, mununue divai na maziwa+ bila feza na bila garama.+ Luka 6:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 “Wenye furaha ni ninyi wenye kuwa na njaa sasa, kwa maana mutashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi wenye kulia sasa, kwa maana mutacheka.+
55 Mukuje, ninyi wote wenye kiu,+ mukuje kwenye maji!+ Ninyi wenye hamuna feza, mukuje, mununue na mukule! Ndiyo, mukuje, mununue divai na maziwa+ bila feza na bila garama.+
21 “Wenye furaha ni ninyi wenye kuwa na njaa sasa, kwa maana mutashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi wenye kulia sasa, kwa maana mutacheka.+