-
Yeremia 2:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 ‘Kwa maana zamani nilivunja-vunja nira yako+
Na kukata pingu zako.
-
-
Ezekieli 16:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Ulikamata nguo zako fulani na kutengeneza mahali pa juu penye rangi mbalimbali kwenye ulifanyia ukahaba+—mambo hayo hayapaswe kufanyika, wala hayapaswe kutokea hata kidogo.
-