Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 ‘Kwa maana zamani nilivunja-vunja nira yako+

      Na kukata pingu zako.

      Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,”

      Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila muti wenye majani mengi+

      Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+

  • Ezekieli 16:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Ulikamata nguo zako fulani na kutengeneza mahali pa juu penye rangi mbalimbali kwenye ulifanyia ukahaba+​—⁠mambo hayo hayapaswe kufanyika, wala hayapaswe kutokea hata kidogo.

  • Ezekieli 23:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kwa hiyo wana wa Babiloni wakaendelea kuja kwenye kitanda chake cha mapenzi, nao wakamuchafua kwa tamaa yao kubwa ya ngono.* Kisha kuchafuliwa nao, akawaacha* akiwa amechukizwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine