25 Ulijenga mahali pako pa juu katika mahali penye kujulikana sana pa kila barabara, na uligeuza uzuri wako kuwa kitu chenye kuchukiza kwa kujitoa* kwa kila mupita-njia,+ na uliongeza matendo yako ya ukahaba.+
33 Watu wanapatia makahaba wote zawadi,+ lakini wewe ndiye unawapatia zawadi wote wenye kukutamani sana,+ unawapatia rushwa* kusudi wakuje kwako kutoka pande zote ili kufanya ukahaba.+
18 “Wakati aliendelea kufanya ukahaba bila haya na kufunua uchi wake,+ nilimuacha nikiwa nimechukizwa, kama vile mimi nilimuacha* dada yake nikiwa nimechukizwa.+