Yeremia 3:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 “Murudie, ninyi wana waasi,” ni vile Yehova anasema. “Kwa maana nimekuwa bwana wenu* wa kweli; na nitawakamata ninyi, mumoja kutoka katika muji mumoja na wawili kutoka katika familia moja, na nitawaleta Sayuni.+
14 “Murudie, ninyi wana waasi,” ni vile Yehova anasema. “Kwa maana nimekuwa bwana wenu* wa kweli; na nitawakamata ninyi, mumoja kutoka katika muji mumoja na wawili kutoka katika familia moja, na nitawaleta Sayuni.+