Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:24, 25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kisha Yehova akafanya kiberiti na moto inyeshe juu ya Sodoma na Gomora⁠—​moto ulitoka kwa Yehova, ulitoka mbinguni.+ 25 Kwa hiyo akaharibu miji hiyo, ndiyo, wilaya hiyo yote, pamoja na wakaaji wote wa miji hiyo na mimea ya inchi.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:22, 23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 “Wakati kizazi cha siku zenye kuja cha wana wenu na mugeni kutoka inchi ya mbali wataona mapigo ya inchi, magonjwa yenye Yehova ameleta juu ya inchi⁠— 23 kiberiti na chumvi na kuteketea, na hivyo inchi yote haitapandwa wala kuotesha mimea, wala hakuna mumea wowote wenye utaota ndani yake, kama vile ilikuwa wakati wa kupinduliwa kwa Sodoma na Gomora,+ Adma na Seboimu,+ miji yenye Yehova alipindua katika kasirani yake na katika kasirani yake kali⁠—​

  • Waroma 9:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Pia, kama vile Isaya alitabiri: “Kama Yehova* wa majeshi hangetuachia uzao,* tungekuwa kama Sodoma, na tungefanana na Gomora.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine