2 Mambo ya Nyakati 28:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Ahazi+ alikuwa na miaka makumi mbili (20) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Hakufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+
28 Ahazi+ alikuwa na miaka makumi mbili (20) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Hakufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+