-
Kumbukumbu la Torati 30:1-3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 “Wakati maneno haya yote yatakuja juu yako, baraka na laana yenye nimeweka mbele yako,+ na uyakumbuke*+ katika mataifa yote kwenye Yehova Mungu wako amekusambaza,+ 2 na urudie kwa Yehova Mungu wako+ na kusikiliza sauti yake kulingana na mambo yote yenye ninakuamuru leo, wewe na wana wako, kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote,+ 3 basi Yehova Mungu wako atarudisha watu wako wenye walikamatwa mateka+ na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka katika vikundi vyote vya watu kwenye Yehova Mungu wako amekusambaza.+
-
-
Isaya 66:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Wataleta ndugu zenu wote kutoka katika mataifa yote+ ili wakuwe zawadi kwa Yehova, wakiwa juu ya farasi, ndani ya magari, ndani ya magari ya kukokotwa yenye kufunikwa, juu ya nyumbu, na juu ya ngamia wenye kuenda haraka, mupaka kwenye mulima wangu mutakatifu, Yerusalemu,” ni vile Yehova anasema, “kama vile watu wa Israeli wanaleta ndani ya nyumba ya Yehova zawadi yao katika chombo safi.”
-
-
Ezekieli 36:24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Nitawatosha katika mataifa na kuwakusanya kutoka katika inchi zote na kuwaingiza katika inchi yenu.+
-