-
Isaya 56:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Kuhusu wageni wenye kujiunga na Yehova ili kumutolea utumishi
Ili kupenda jina la Yehova+
Na kuwa watumishi wake,
Wale wote wenye kushika Sabato na hawaichafue
Na wenye kushika agano langu,
7 Pia nitawaleta kwenye mulima wangu mutakatifu+
Na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.
Matoleo yao mazima ya kuteketezwa na zabihu zao zitakubaliwa kwenye mazabahu yangu.
Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya vikundi vyote vya watu.”+
-
-
Zekaria 8:22, 23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Na vikundi vingi vya watu na mataifa yenye nguvu watakuja kumutafuta Yehova wa majeshi katika Yerusalemu+ na kumuomba Yehova awakubali.’*
23 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Katika siku hizo watu kumi (10) kutoka katika luga zote za mataifa+ watashika, ndiyo, watashika kwa nguvu kanzu ya* Muyahudi,* wakisema: “Tunataka kuenda pamoja na ninyi,+ kwa maana tumesikia kwamba Mungu iko* pamoja na ninyi.”’”+
-