Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:6, 7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Kuhusu wageni wenye kujiunga na Yehova ili kumutolea utumishi

      Ili kupenda jina la Yehova+

      Na kuwa watumishi wake,

      Wale wote wenye kushika Sabato na hawaichafue

      Na wenye kushika agano langu,

       7 Pia nitawaleta kwenye mulima wangu mutakatifu+

      Na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.

      Matoleo yao mazima ya kuteketezwa na zabihu zao zitakubaliwa kwenye mazabahu yangu.

      Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya vikundi vyote vya watu.”+

  • Isaya 60:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Mataifa yataenda kwenye mwangaza wako,+

      Na wafalme+ kwenye utukufu wako wenye kungaa.*+

  • Zekaria 8:22, 23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Na vikundi vingi vya watu na mataifa yenye nguvu watakuja kumutafuta Yehova wa majeshi katika Yerusalemu+ na kumuomba Yehova awakubali.’*

      23 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Katika siku hizo watu kumi (10) kutoka katika luga zote za mataifa+ watashika, ndiyo, watashika kwa nguvu kanzu ya* Muyahudi,* wakisema: “Tunataka kuenda pamoja na ninyi,+ kwa maana tumesikia kwamba Mungu iko* pamoja na ninyi.”’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine