Isaya 43:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Yehova, Mukombozi wenu,+ Mutakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe kule Babiloni kwa ajili yenu na kushusha mapingo* yote ya milango mikubwa,+Na Wakaldayo, katika mashua* zao, watalia kwa taabu.+ Yeremia 50:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Yehova amefungua depo yake,Na analeta inje silaha za kasirani yake kali.+ Kwa maana Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova wa majeshi, iko* na kaziKatika inchi ya Wakaldayo. Yeremia 51:56 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 56 Kwa maana mwenye kuharibu atakuja juu ya Babiloni;+Wapiganaji-vita wake watakamatwa,+Pinde zao zitavunjwa-vunjwa,Kwa maana Yehova ni Mungu wa kisasi.+ Hakika atalipa.+
14 Yehova, Mukombozi wenu,+ Mutakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe kule Babiloni kwa ajili yenu na kushusha mapingo* yote ya milango mikubwa,+Na Wakaldayo, katika mashua* zao, watalia kwa taabu.+
25 Yehova amefungua depo yake,Na analeta inje silaha za kasirani yake kali.+ Kwa maana Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova wa majeshi, iko* na kaziKatika inchi ya Wakaldayo.
56 Kwa maana mwenye kuharibu atakuja juu ya Babiloni;+Wapiganaji-vita wake watakamatwa,+Pinde zao zitavunjwa-vunjwa,Kwa maana Yehova ni Mungu wa kisasi.+ Hakika atalipa.+