Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Tangazo juu ya Babiloni+ lenye Isaya+ mwana wa Amozi aliona katika maono:

  • Isaya 13:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Viumbe vya jangwa vitalala kule;

      Nyumba zao zitajaa bundi-tai.

      Mbuni watakaa kule,+

      Na mbuzi wa pori* watarukaruka kule.

  • Yeremia 50:35
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 35 “Kuko upanga juu ya Wakaldayo,” ni vile Yehova anasema,

      “Juu ya wakaaji wa Babiloni na juu ya wakubwa wake na juu ya watu wake wenye hekima.+

  • Yeremia 50:39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Kwa hiyo, viumbe vya jangwa vitakaa pamoja na wanyama wenye kufanya makelele,

      Na mbuni watakaa ndani yake.+

      Hatakaliwa tena hata siku moja,

      Na hatakuwa tena mahali pa kukaa kwa vizazi vyote.”+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Na akasema kwa sauti kubwa yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mukubwa ameanguka,+ na amekuwa makao ya pepo wachafu na mahali pa kujificha pa kila roho muchafu* na kila ndege muchafu mwenye anachukiwa!+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine