-
2 Mambo ya Nyakati 29:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Hezekia+ alikuwa mufalme akiwa na miaka makumi mbili na tano (25), na alitawala kwa miaka makumi mbili na kenda (29) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Aliendelea kufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova,+ kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+
-