Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 29:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Hezekia+ alikuwa mufalme akiwa na miaka makumi mbili na tano (25), na alitawala kwa miaka makumi mbili na kenda (29) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Aliendelea kufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova,+ kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Lakini Mufalme Hezekia na nabii Isaya+ mwana wa Amozi waliendelea kusali juu ya jambo hilo na kulilia mbingu ili kupata musaada.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine