Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+

      Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+

  • Zaburi 72:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 72 Ee Mungu, umupatie mufalme hukumu zako,

      Na umupatie mwana wa mufalme haki yako.+

       2 Na atetee mashitaka ya watu wako kwa haki,

      Na ya watu wako wa hali ya chini kwa haki.+

  • Isaya 9:6, 7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Kwa maana mutoto amezaliwa kwetu,+

      Tumepewa mwana

      Na utawala* utakaa juu ya bega lake.+

      Jina lake litakuwa Mushauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mukubwa wa Amani.

       7 Kuongezeka kwa utawala wake*

      Na amani, havitakuwa na mwisho,+

      Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake

      Ili kuufanya kuwa imara kabisa+ na kuutegemeza

      Kupitia haki+ na uadilifu,*+

      Kuanzia sasa na milele.

      Bidii ya Yehova wa majeshi itatenda mambo hayo.

  • Isaya 32:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Angalia! Mufalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu,*+

      Na wakubwa watatawala kwa ajili ya haki.

  • Yeremia 23:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitasimamishia Daudi chipukizi la* haki.+ Na mufalme atatawala+ na kuonyesha ufahamu na kutenda haki na uadilifu* katika inchi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine