-
Zaburi 72:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
72 Ee Mungu, umupatie mufalme hukumu zako,
Na umupatie mwana wa mufalme haki yako.+
-
-
Isaya 9:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
Jina lake litakuwa Mushauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mukubwa wa Amani.
7 Kuongezeka kwa utawala wake*
Na amani, havitakuwa na mwisho,+
Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake
Ili kuufanya kuwa imara kabisa+ na kuutegemeza
Kuanzia sasa na milele.
Bidii ya Yehova wa majeshi itatenda mambo hayo.
-