Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 Na wana wa Gadi wakajenga* Diboni,+ Ataroti,+ Aroeri,+

  • Yoshua 13:15, 16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kisha Musa akapatia kabila la Rubeni uriti kulingana na familia zao, 16 na eneo lao lilianzia Aroeri, pembeni ya Bonde la Arnoni,* na muji wenye kuwa katikati ya bonde hilo, na eneo lote tambarare la juu la Medeba;

  • 2 Wafalme 10:32, 33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Katika siku hizo Yehova alianza kukata* Israeli kipande kimoja kisha kingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia katika eneo lote la Israeli,+ 33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, inchi yote ya Gileadi⁠—​ya Wagadi, Warubeni, na Wamanase+⁠—​kutoka Aroeri, yenye kuwa pembeni ya Bonde la Arnoni, mupaka Gileadi na Bashani.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine