-
Yoshua 13:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kisha Musa akapatia kabila la Rubeni uriti kulingana na familia zao, 16 na eneo lao lilianzia Aroeri, pembeni ya Bonde la Arnoni,* na muji wenye kuwa katikati ya bonde hilo, na eneo lote tambarare la juu la Medeba;
-
-
2 Wafalme 10:32, 33Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Katika siku hizo Yehova alianza kukata* Israeli kipande kimoja kisha kingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia katika eneo lote la Israeli,+ 33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, inchi yote ya Gileadi—ya Wagadi, Warubeni, na Wamanase+—kutoka Aroeri, yenye kuwa pembeni ya Bonde la Arnoni, mupaka Gileadi na Bashani.+
-