-
Hosea 10:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Fujo itatokea juu ya watu wako,
Na miji yako yote yenye ngome itaharibiwa,+
Kama vile Shalmani aliharibu nyumba ya Arbeli,
Katika siku ya pigano, wakati mama walivunjwa vipande-vipande pembeni ya watoto wao.
-
-
Amosi 3:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kwa hiyo Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi:
-