Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ mwenye hana ukosefu wa haki hata kidogo;+Yeye ni mwenye haki na munyoofu.+ 2 Samweli 22:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Kwa maana ni nani iko* Mungu isipokuwa Yehova?+ Na ni nani iko* mwamba isipokuwa Mungu wetu?+
4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ mwenye hana ukosefu wa haki hata kidogo;+Yeye ni mwenye haki na munyoofu.+