2 Mambo ya Nyakati 9:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Kwa maana mashua* za mufalme zilikuwa zinaenda Tarshishi+ na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka tatu (3), mashua za Tarshishi zilikuja zikiwa zimejaa zahabu na feza, pembe za tembo,+ sokwe, na tausi. Ezekieli 27:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Mashua* za Tarshishi+ zilikuwa misururu ya wasafiri kwa ajili ya vitu vyako vya biashara,Kwa hiyo ukajaa na kulemewa na muzigo* katika moyo wa bahari kubwa.
21 Kwa maana mashua* za mufalme zilikuwa zinaenda Tarshishi+ na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka tatu (3), mashua za Tarshishi zilikuja zikiwa zimejaa zahabu na feza, pembe za tembo,+ sokwe, na tausi.
25 Mashua* za Tarshishi+ zilikuwa misururu ya wasafiri kwa ajili ya vitu vyako vya biashara,Kwa hiyo ukajaa na kulemewa na muzigo* katika moyo wa bahari kubwa.