Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Malkia wa Sheba anamutembelea Sulemani (1-12)

      • Utajiri wa Sulemani (13-28)

      • Kifo cha Sulemani (29-31)

2 Mambo ya Nyakati 9:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vitendawili.”

  • *

    Ao “musururu wa watu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 12:42; Lu 11:31
  • +Zab 72:15
  • +1 Fal. 10:1-3

2 Mambo ya Nyakati 9:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “lenye lilifichwa.”

2 Mambo ya Nyakati 9:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:28; Mhu. 12:9
  • +1 Fal. 10:4-9

2 Mambo ya Nyakati 9:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hakuna roho yenye ilibakia ndani yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:22, 23
  • +2Nya 8:12, 13

2 Mambo ya Nyakati 9:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “maneno yako.”

2 Mambo ya Nyakati 9:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 11:31
  • +Mhu. 1:16
  • +1 Fal. 4:31, 34; 2Nya 1:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 9:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 2:11

2 Mambo ya Nyakati 9:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa sawa na kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 72:10
  • +1 Fal. 10:10

2 Mambo ya Nyakati 9:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:27, 28; 10:22; 2Nya 8:18
  • +1 Fal. 10:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 9:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:8
  • +1 Fal. 7:1
  • +1Nya 25:1; Zab 92:3

2 Mambo ya Nyakati 9:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kwa kuongezea kwenye zawadi zenye zilikuwa sawa na samani ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:13

2 Mambo ya Nyakati 9:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:14, 15; 2Nya 1:15; Zab 68:29; 72:15

2 Mambo ya Nyakati 9:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 72:10

2 Mambo ya Nyakati 9:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Shekeli moja ilikuwa sawa na grame 11.4 (aunsi troi 0.367). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 12:9
  • +1 Fal. 10:16, 17

2 Mambo ya Nyakati 9:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Mara nyingi zilibebwa na wapiga-mishale.

  • *

    Mina moja katika Maandiko ya Kiebrania ilikuwa sawa na grame 570 (aunsi troi 18.35). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:2

2 Mambo ya Nyakati 9:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:18-20

2 Mambo ya Nyakati 9:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:9

2 Mambo ya Nyakati 9:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 23:24

2 Mambo ya Nyakati 9:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:21, 22, 27

2 Mambo ya Nyakati 9:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 72:10; Yon 1:3
  • +1 Fal. 9:27
  • +1 Fal. 10:18

2 Mambo ya Nyakati 9:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:12, 13; 4:29; 10:23-25

2 Mambo ya Nyakati 9:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “walitafuta uso wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:28; 4:34; 2Nya 1:12; Mez. 2:6

2 Mambo ya Nyakati 9:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 6:29

2 Mambo ya Nyakati 9:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wapanda-farasi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:16; 1 Fal. 4:26
  • +1 Fal. 10:26

2 Mambo ya Nyakati 9:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Efrati.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:21

2 Mambo ya Nyakati 9:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:27; 1Nya 27:28

2 Mambo ya Nyakati 9:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:28; 2Nya 1:16

2 Mambo ya Nyakati 9:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:41-43
  • +2 Sa. 7:2; 12:1; 1 Fal. 1:8; 1Nya 29:29
  • +1 Fal. 11:30, 31; 14:2, 6, 10
  • +2Nya 12:15; 13:22
  • +1 Fal. 11:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2012, uku. 25

2 Mambo ya Nyakati 9:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:9; 1 Fal. 2:10
  • +1 Fal. 14:21

Maandiko ingine

2 Nya. 9:1Mt 12:42; Lu 11:31
2 Nya. 9:1Zab 72:15
2 Nya. 9:11 Fal. 10:1-3
2 Nya. 9:31 Fal. 3:28; Mhu. 12:9
2 Nya. 9:31 Fal. 10:4-9
2 Nya. 9:41 Fal. 4:22, 23
2 Nya. 9:42Nya 8:12, 13
2 Nya. 9:6Lu 11:31
2 Nya. 9:6Mhu. 1:16
2 Nya. 9:61 Fal. 4:31, 34; 2Nya 1:11, 12
2 Nya. 9:82Nya 2:11
2 Nya. 9:9Zab 72:10
2 Nya. 9:91 Fal. 10:10
2 Nya. 9:101 Fal. 9:27, 28; 10:22; 2Nya 8:18
2 Nya. 9:101 Fal. 10:11, 12
2 Nya. 9:111 Fal. 6:8
2 Nya. 9:111 Fal. 7:1
2 Nya. 9:111Nya 25:1; Zab 92:3
2 Nya. 9:121 Fal. 10:13
2 Nya. 9:131 Fal. 10:14, 15; 2Nya 1:15; Zab 68:29; 72:15
2 Nya. 9:14Zab 72:10
2 Nya. 9:152Nya 12:9
2 Nya. 9:151 Fal. 10:16, 17
2 Nya. 9:161 Fal. 7:2
2 Nya. 9:171 Fal. 10:18-20
2 Nya. 9:18Mwa 49:9
2 Nya. 9:19Hes 23:24
2 Nya. 9:201 Fal. 10:21, 22, 27
2 Nya. 9:21Zab 72:10; Yon 1:3
2 Nya. 9:211 Fal. 9:27
2 Nya. 9:211 Fal. 10:18
2 Nya. 9:221 Fal. 3:12, 13; 4:29; 10:23-25
2 Nya. 9:231 Fal. 3:28; 4:34; 2Nya 1:12; Mez. 2:6
2 Nya. 9:24Mt 6:29
2 Nya. 9:25Kum 17:16; 1 Fal. 4:26
2 Nya. 9:251 Fal. 10:26
2 Nya. 9:261 Fal. 4:21
2 Nya. 9:271 Fal. 10:27; 1Nya 27:28
2 Nya. 9:281 Fal. 10:28; 2Nya 1:16
2 Nya. 9:291 Fal. 11:41-43
2 Nya. 9:292 Sa. 7:2; 12:1; 1 Fal. 1:8; 1Nya 29:29
2 Nya. 9:291 Fal. 11:30, 31; 14:2, 6, 10
2 Nya. 9:292Nya 12:15; 13:22
2 Nya. 9:291 Fal. 11:26
2 Nya. 9:312 Sa. 5:9; 1 Fal. 2:10
2 Nya. 9:311 Fal. 14:21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 9:1-31

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

9 Sasa malkia wa Sheba+ alisikia habari za Sulemani, kwa hiyo akakuja Yerusalemu ili kumujaribu kwa maulizo ya nguvu.* Alikuja na watu wengi* wenye kuvutia sana, pamoja na ngamia wenye kubeba mafuta ya zeri na zahabu nyingi sana+ na majiwe yenye samani. Akaingia kwa Sulemani na kusema naye juu ya mambo yote yenye yalikuwa katika moyo wake.+ 2 Kisha Sulemani akajibu maulizo yake yote. Hakuna jambo lolote lenye lilikuwa nguvu sana* kwa Sulemani kumufasiria.

3 Wakati Malkia wa Sheba alikuwa ameona hekima yote ya Sulemani,+ nyumba yenye alijenga,+ 4 chakula cha meza yake,+ namna watumishi wake walikuwa wanakaa, namna watumishi wake walifanya kazi kwenye meza na pia nguo zao, wanyweshaji wake na pia nguo zao, na zabihu zake za kuteketezwa zenye alitoa kwa ukawaida kwenye nyumba ya Yehova,+ alibakia kinywa wazi.* 5 Basi akamuambia mufalme: “Habari zenye nilisikia katika inchi yangu juu ya mambo yenye umetimiza* na juu ya hekima yako zilikuwa za kweli. 6 Lakini sikuamini habari hizo mupaka wakati nimekuja na kujionea kwa macho yangu mwenyewe.+ Na angalia! Sikukuwa nimeambiwa hata nusu ya hekima yako kubwa.+ Umepita sana habari zenye nilisikia.+ 7 Wenye furaha ni watu wako, na wenye furaha ni watumishi wako wenye wanasimama mbele yako kila wakati, wakisikiliza hekima yako! 8 Yehova Mungu wako asifiwe, mwenye amependezwa na wewe kwa kukuweka kwenye kiti chake cha ufalme ili kuwa mufalme kwa ajili ya Yehova Mungu wako. Kwa sababu Mungu wako anapenda Israeli,+ ili kuifanya idumu milele, alikuweka juu yao kuwa mufalme ili kutenda haki na uadilifu.”*

9 Kisha akamupatia mufalme talanta* mia moja makumi mbili (120) za zahabu+ na mafuta mengi ya zeri na majiwe yenye samani. Hakuna siku kuliletwa tena mafuta ya zeri kama yale yenye malkia wa Sheba alimupatia Mufalme Sulemani.+

10 Zaidi ya hayo, watumishi wa Hiramu na watumishi wa Sulemani wenye walileta zahabu kutoka Ofiri+ walileta pia mbao za misandali na majiwe yenye samani.+ 11 Mufalme alitumia mbao hizo za misandali kutengeneza ngazi za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mufalme,+ na pia vinubi na vyombo vya kamba kwa ajili ya waimbaji.+ Hakuna mbao kama hizo zenye zilikuwa zimekwisha kuonekana katika inchi ya Yuda.

12 Mufalme Sulemani alimupatia pia malkia wa Sheba kila kitu chenye alitamani na chenye aliomba, zaidi kuliko* vitu vyenye alimuletea mufalme. Kisha akaondoka na kurudia katika inchi yake, pamoja na watumishi wake.+

13 Na uzito wa zahabu yenye ililetwa kwa Sulemani katika mwaka mumoja ulikuwa wa talanta mia sita makumi sita na sita (666) za zahabu,+ 14 zaidi ya ile yenye ililetwa na wafanyabiashara na watu wenye kuuzisha na kutoka kwa wafalme wote wa Waarabu na magavana wa inchi wenye walikuwa wanamuletea Sulemani zahabu na feza.+

15 Mufalme Sulemani alitengeneza ngao kubwa mia mbili (200) za zahabu yenye kuchanganywa+ (shekeli* mia sita [600] za zahabu ziliwekwa kwenye kila ngao)+ 16 na ngao za kidogo* mia tatu (300) za zahabu yenye kuchanganywa (mina* tatu [3] za zahabu ziliwekwa kwenye kila ngao ya kidogo). Kisha mufalme akaziweka katika Nyumba ya Pori la Lebanoni.+

17 Mufalme alitengeneza pia kiti kikubwa cha ufalme cha pembe za tembo na akakifunika kwa zahabu safi.+ 18 Kulikuwa vipandio sita (6) kwenye kiti cha ufalme, na kulikuwa kiti cha miguu cha zahabu chenye kilikuwa kinashikana na kiti cha ufalme, na kulikuwa mikono ya kiti pande zote mbili za kiti, na simba wawili+ walikuwa wanasimama pembeni ya mikono ya kiti. 19 Na kulikuwa simba kumi na mbili (12)+ wenye kusimama kwenye vile vipandio sita (6), wawili kwenye kila kipandio, mumoja upande huu na mwingine upande mwingine. Hakuna ufalme mwingine wowote wenye ulifanya kitu kama hicho. 20 Vyombo vyote vya kukunywia ndani vya Mufalme Sulemani vilikuwa vya zahabu, na vyombo vyote vya Nyumba ya Pori la Lebanoni vilikuwa vya zahabu safi. Hapakukuwa kitu chochote chenye kilitengenezwa kwa feza, kwa maana feza ilionwa kuwa bure katika siku za Sulemani.+ 21 Kwa maana mashua* za mufalme zilikuwa zinaenda Tarshishi+ na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka tatu (3), mashua za Tarshishi zilikuja zikiwa zimejaa zahabu na feza, pembe za tembo,+ sokwe, na tausi.

22 Kwa hiyo Mufalme Sulemani alikuwa mukubwa kuliko wafalme wengine wote wa dunia katika utajiri na hekima.+ 23 Na wafalme wa dunia yote walitafuta kukutana na* Sulemani ili wasikie hekima yake yenye Mungu wa kweli alikuwa ametia katika moyo wake.+ 24 Kila mumoja wao alikuwa analeta zawadi⁠—​vyombo vya feza, vyombo vya zahabu, nguo,+ silaha, mafuta ya zeri, farasi, na nyumbu⁠—​na hilo liliendelea mwaka kwa mwaka. 25 Na Sulemani alikuwa na vibanda elfu ine (4 000) kwa ajili ya farasi wake na magari yake na farasi* elfu kumi na mbili (12 000),+ na aliviweka katika miji ya magari na karibu na mufalme katika Yerusalemu.+ 26 Na alitawala wafalme wote kuanzia kwenye Muto* mupaka kwenye inchi ya Wafilisti na kufikia kwenye mupaka wa Misri.+ 27 Mufalme alifanya feza katika Yerusalemu ikuwe nyingi kama majiwe, na mierezi kuwa mingi kama mikuyu katika Shefela.+ 28 Na walikuwa wanamuletea Sulemani farasi kutoka Misri+ na kutoka katika inchi zingine zote.

29 Na mambo mengine ya historia ya Sulemani,+ kuanzia mwanzo mupaka mwisho, je, hayaandikwe katika maneno ya Natani+ nabii, katika unabii wa Ahiya+ Mushilo, na katika kumbukumbu la maono ya muonaji Ido+ juu ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati? 30 Sulemani alitawala katika Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka makumi ine (40). 31 Kisha Sulemani akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake. Basi wakamuzika katika Muji wa Daudi baba yake;+ na Rehoboamu mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine