Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:29, 30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Vyombo vya kuingiza upepo katika tanuru ya moto vimeunguzwa.*

      Risasi inatoka ndani ya moto wao.

      Mutu anaendelea kusafisha sana lakini bure,+

      Na wale wenye kuwa wabaya hawakutengwa.+

      30 Feza yenye kukataliwa ni vile hakika watu watawaita,

      Kwa maana Yehova amewakataa.”+

  • Yeremia 9:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Nitawayeyusha na kuwajaribu,+

      Kwa maana ni nini kingine chenye ninaweza kumufanyia binti ya watu wangu?

  • Malaki 3:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Na atakaa kama mutu mwenye kusafisha na mwenye kutakasa feza+ na atatakasa wana wa Lawi; na atawasafisha kama zahabu na kama feza, na bila shaka watakuwa kwa Yehova watu wenye kutoa toleo la zawadi katika haki.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine