-
Ezekieli 6:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Na ninyi mutalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ wakati wenye watauawa kati yao watalala kati ya sanamu zao zenye kuchukiza, kuzunguka pande zote za mazabahu zao,+ juu ya kila kilima kirefu, juu ya vichwa vyote vya milima, na chini ya kila muti wenye majani mengi, na chini ya matawi ya miti mikubwa kwenye wametoa matoleo yenye harufu ya muzuri* ili kutuliza sanamu zao zote zenye kuchukiza.+
-